24 July 2012


WEMA SEPETU ATOA MSAADA KATIKA KITUO CHA WATOTO WA KITUO CHA GOOD HOPE JIJINI ARUSHA

 My gal na mmoja kati ya mtoto anaelelewa katika kituo cha good hope
 Akikabidhi dola elfu moja taslim
Kilio hiki kilikuwa cha furaha,hakika kilio humaanisha mengi jamani.

tmark-turn,tunakutakia kila kheri wema sepetu kwa upendo wako uliouonyesha na usiishie hapa uwasaidie na wengine inshallah,mwenyezimungu akuzidishie upendo na amani,akuondelee mabaya .amina
Picha toka:http://mvutokwanza.blogspot.com/

0 comments:

Post a Comment

.

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!